Bomba la Mafuta Uganda-Tanzania Kuzalisha Ajira Elfu 10

Na. Georgina Misama-MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Museveni wameshuhudia zoezi la utiaji saini  ya mradi wa bomba la mafuta ghafi Afrika Mashariki, leo Ikulu Jijini Dar es salaam. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa mradi huo, Rais Samia